Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Nigeria jana waliungana na Waislamu wengine duniani na kushiriki kwa wingi katika maombelezo ya Arubaini ya Imam Hussein (A.S) kwa kukusanyika katika mji wa Zaria.
Habari ID: 2618158 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/14